Wednesday, 19 March 2014

WASHIRIKI WA MR & MISS CBE 2014 WAFANYIWA USAHILI

 Kamati ya MR & MISS CBE 2014 wamefanya usahili kwa washiriki. Leo wanaanza mazoezi lasimi katika ukumbi wa Shabiby uliopo TOT kuanzia saa kumi kamili.

 Aziz
 Rebeca
 Bikumbayi
 Peter








 Kamati ikitoa maelekezo kwa washiriki hawa

Kundi la washiriki kwa pamoja wakiwa na MR & MISS CBE watakao wavalisha mataji yao.

No comments:

Post a Comment