Tuesday, 4 March 2014

PICHA-NYOTA MPYA WA HOLLYWOOD,MKENYA LUPITA NYONG'O AKIWA NA MAMA MZAZI


Ilikuwa ni kwenye red carpet session ya .Tuzo za   filamu. BAFTAs(2014) ambapo hata hivyo hakubahatika kufanya vizuri,kama alivyofanya kwenye tuzo kubwa z a Oscar,kupitia movie ya 12 years a slave.

No comments:

Post a Comment