WAKRISTO WALIVYOANZA MFUNGO WA KWARESMA KWA KUPAKWA MAJIVU
| Padri Joseph Masenge, akimpaka majivu kwenye paji la uso muumini mwingine wa kanisa hilo.(picha na blog ya mwaibale) |
| Mtawa Alphonana Daniel, akimpaka majivu muumini wa kanisa hilo |
| Mtawa Alphonana Daniel, akimpaka majivu, Irene Chumi |
| Waumini wa Kanisa hilo wakiwa wamejipanga foleni wakisubiri kupakwa majivu. |
| Padri Joseph Masenge,akiwapaka majivu waumini hao. |
| Padri Joseph Masenge, akimpaka majivu Michael Emanuel |
| Waumini wa kanisa hilo wakiwa nje wakisubiri kupakwa majivu |
No comments:
Post a Comment