Friday, 13 June 2014

Usikose kampeni ya #TANZANIA #NAIAMINIA  kesho kuanzia saa nane kamili mchana itakayofanyika katika uwanja wa Jamhuri,Dodoma ambapo wasanii zaidi ya 50 watapafomu nyimbo ya Tanzania @50,mgeni rasmi ni rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Dr.Jakaya Kikwete.


No comments:

Post a Comment