Sunday, 15 June 2014

Mastaa wa Tanzania walivyowasili uwanja wa Jamuhuri Dodoma leo




 Mastaa vijana wa Tanzania kutoka kwenye muziki, movie na sehemu nyingine wakiwemo mastaa wa soka wameungana pamoja na kutumia ushawishi wao kuonyesha kwamba wakiamua inawezekana. Tayari walishaifanya video ya wimbo walioufanya wa miaka 50 ya Tanzania… leo ndio wanaionyesha kwa mara ya kwanza ambapo Rais Kikwete, Waziri Mkuu Pinda, Rais wa Znz Dr. Shein, Spika Anne Makinda ni miongoni mwa wakuu wa serikali watakao ungana nao kwenye uwanja wa Jamuhuri hapa Dodoma kuanzia saa nane mchana.

No comments:

Post a Comment